Warsha ya Mpango Mkakati wa Dayosisi 2024-2028

Warsha ya Mpango Mkakati wa Dayosisi 2024-2028 ya Maofisa wa Dayosisi, Wadiri (Wakuu wa Idara), Wakuu wa Majimbo na Vituo vya Elimu, Uchumi, Afya na Huduma imefanyika imefanyika  Uhuru Lutheran Hotel & Conference leo tarehe 16/11/2023.

Katika mpango huo kuna vipaombele 5 ambavyo ni pamoja na:

  1. Kuwa na ukuaji Endelevu
  2. Kuwa na ukuaji endelevu wa Kifedha na Kiuchumi
  3. Kuwa na Utawala Bora na Ufanisi wa Kiutendaji
  4. Kuwa na Huduma za Kijamii zilizo bora na zenye usawa
  5. Kuwa na Haki za Kimazingira, Kijamii, Kiuchumi na