KKKT Dayosisi ya Kaskazini inaungana na Watanzania wote, kuwatakia kila la heri Wanafunzi wa Kidato cha Sita katika Mitihani yao ya kuhitimu iliyoanza tarehe 06/05/2024. Mungu awatangulie.
KKKT Dayosisi ya Kaskazini inaungana na Watanzania wote, kuwatakia kila la heri Wanafunzi wa Kidato cha Sita katika Mitihani yao ya kuhitimu iliyoanza tarehe 06/05/2024. Mungu awatangulie.