Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imefanya ibada ya maalumu ya madhimisho ya siku ya CCT mkoa wa Kilimanjaro tarehe 8 Mei, 2025. Kauli mbiu katika maadhimisho hayo ni neno la Mungu kutoka katika kitabu cha Mithali 14:34 “Haki huinua taifa; bali dhambi ni aibu ya watu wowote” . Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Mkoa wa Kilimanjaro, […]
Read MoreViongozi wa dini mbalimbali kanda ya Kaskazini (Interfaith Forum) wamekutana mkoani Singida tarehe 5.5.2025. Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi wa dini kutoka mikoa Tanga,Kilimanjaro, Arusha, Manyara, na Singida na ulikuwa na kauli mbiu “UPENDO HAKI NA AMANI “. Katika mkutano huo Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Askofu Dkt. Fredrick Shoo alitoa wito kwa vyombo […]
Read MoreMkuu wa Jimbo la Kilimanjaro Kati KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mch. Javason Mrema ameeleza jinsi uinjilishaji kwa njia ya pikipiki utakavyokuwa na manufaa. Mch. Mrema ameeleza hayo wakati akiongea na Umoja Daima Media kwenye Usharika wa Ngorika C uliopo KKKT Dayosisi ya Kaskazini Jimbo la Kilimanjaro Kati ambapo waliwapokea waendesha pikipiki kutoka Ujerumani waliofika kwa […]
Read MoreKanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini ina Kitengo kinachohudumia watoto wenye ulemavu wa akili. Kitengo hicho kinaitwa Building a Caring Community (BCC). BCC ina marafiki ambao hufanya nao kazi pamoja. Mosaic International ni mshirika mkuu na rafiki wa BCC. Wana programu inayoitwa Carman International Fellowship, ambapo kupitia programu hiyo hutuma mfanyakazi mmoja […]
Read MoreRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema, serikali itaendelea kuimarisha huduma za ustawi wa jamii na kushirikiana na wadau wengine kuhakikisha huduma hizo zinapatikana.Rais Samia ameyasema hayo wakati wa hafla ya kuingizwa kazini kwa Askofu Dkt Alex Gehaz Malasusa kuwa Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) iliyofanyika […]
Read MoreMkuu wa KKKT na Dayosisi ya Kaskazini Askofu Dkt. Fredrick Onael Shoo aliongoza kikao cha Wanadayosisi waliopo Safarini (Diaspora) Disemba 27, 2023 Uhuru Lutheran Hotel& Conference Centre kikao ambacho hufanyika kila mwisho wa mwaka kujadili masuala mbalimbali yahusuyo maendeleo ya Dayosisi. Sambamba na kikao hicho, alizindua rasmi gazeti la kila wiki la Umoja Daima ambalo […]
Read MoreFor to us a child is born, to us a child is given, and the government shall be on his shoulders. And he shall be called Wonderful Counselor, Mighty God, Everlasting Father, Prince of Peace. (Isaiah 9:6) Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake nae ataitwa […]
Read MoreDkt. Kweka aliitwa mbinguni akiwa na umri wa miaka 89. Wasifu Askofu Dkt. Kweka alikuwa ni mtu mwenye kipawa cha uongozi tangu akiwa shule ya msingi. Alikuwa kiranja wa wanafunzi, kapteni wa timu ya mpira wa miguu na pia kiongozi katika bendi ya shule, ambayo ilitumbuiza katika siku kubwa ya Wachagga ya kumtunuku Mangi Mkuu. […]
Read MoreNi tukio la kihistoria, ndivyo tunavyoweza kuandika, kwani ni baada ya takribani miaka ishirini kwa mujibu wa baadhi ya washiriki ambao ni wainjilisti kutoka katika Majimbo yote matano ya KKKT Dayosisi ya Kaskazini! Wainjilisti 384, kati yao wanawake 124 sawa na 34% na wanaume 260 sawa na 66% kutoka katika sharika 171 za KKKT Dayosisi […]
Read MoreIbada ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 13 wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani (LWF) ikiendelea katika mji wa Krakow-Poland ambapo baadhi ya viongozi kutoka KKKT wameshiriki akiwepo Mkuu wa Kanisa Askofu Dkt. Fredrick Shoo, Askofu Dkt. Mbilu, Katbu Mkuu wa KKKT Mhandisi Robert Kitundu n.k
Read More